Lyrics Ibraah – Hayakuhusu

Hayakuhusu Lyrics – Ibraah

Singer: Ibraah
Title: Hayakuhusu

Kutaka kulea wakati
Unalelewa, lazima uvunjie
Watu wazima heshima
Punguza

Mozea, unacare, wakati
Umemtelekeza fahyma
Achana na walio
Kutangulia, wakati kesho

Yako hujui utakako
Angukia, unaweza wasafi
Ukatimuliwa, na kondegang
Ukaja kusainiwa

Unashindana na
Mwanajeshi, ambayo vita
Aliianza babako na hamuwezi
Msalimie

Kiparandezi, mwambie hata
Akikesha kwa
Songoma, katu hatuwezi
Nyimbo kaimbiwa

Kajala, karaoke na
Kupitapita acha apapara
Aaaaah wee
Nasikia unachimba

Mikwara, hauna chochote
Mapenzi ya konde na kajala yanakuhusu
Nini kaka wee
Find more lyrics at lyrics.jspinyin.net

You can purchase their music thru 
Amazon Music or Apple Music
Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases
Other Popular Songs:
Carlos Vives feat. Ricky Martin - Canción Bonita
Dhruv - Double Take

Hayakuhusu – English Translation

Wanting to raise time
You are raised, you must be exposed
Adult respects
Limit

Mozea, unacare, while
You have abandoned Fahyma.
Abandon those
Precede, while tomorrow

Your you don’t know you will be
Fall, you can clean
Counted, and Kondegang
Come to be signed

You compete with
Soldier, which war
He started his father and can’t
MSALIMIE.

Meeting, tell even
Watching for
SONGOMA, THAT WE
Kaimbiwa songs

Kajala, karaoke and
Passing Leave APAPARA.
Aaaaah Wee.
I hear you dig

Mikwara, don’t have anything
The Football and Kajala are about you
What a wee brother.
Find more lyrics at lyrics.jspinyin.net

Lyrics Ibraah – Hayakuhusu

Kindly like and share our content. Please follow our site to get the latest lyrics for all songs.

We don’t provide any MP3 Download, please support the artist by purchasing their music 🙂

You can purchase their music thru 
Amazon Music or Apple Music
Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases