Lyrics Rapcha – Fungua

Fungua Lyrics – Rapcha

Singer: Rapcha
Title: Fungua

Oya mwanangu vipi?
99 mwanangu
Mbona kinyonge?
Ahhh hamna ishu wala nini

Ndo shida hiyo ya kubetia team msizozijua hahah
Ahh sio kubet
Najua babu
Ila umekaa kimya kinoma nini shida mwanangu ni kweli..!!

We acha tu mwanangu si unamuelewa huyu shemeji yako jinsi ambavyo nna mkubali
Aah naelewa
Halafu kuna miyeyusho flani anakua ananiletea ambayo sio
Yani kama hivi kuna story ambazo mi nakua n#z#sikia halafu nikitaka kumwambia yani koo langu linakua kama kuna kitu kimenishikilia hapa nashindwa kuongea yani

Kwasababu najua nikimgusa tu hivi kidogo anakasirika anakuja juu ila nataka kinoma kumchana sa sjui tu naanzia wapi mwanangu
Aaah Kwahiyo tatizo ndio hilo?
Ndio hivyo mwanangu
Chukua kwanza kitu hichi

Au sio
Piga mbili ukimaliza hicho mwanangu utakua na nguvu ya kumchana mbona suala dogo
Kula kitu maliza mchane
Uhakika??

Imeisha hiyo baba
Mmmh naam naam
Uuuu chapa chapa chapa yeah yeah ye ye yeee
Mambo mengine mambo madogo mwanangu anakua anawaza

Cough!! Mwanangu hiki kama chenye
Msumbiji hiyo baba
Sasa mwanangu
Oi oi oi

Hebu Ngoja mi nicheze (mara moja hii umemaliza kitu??)
Ngoja Nimkute huko huko aliko nikamuanzishie kama vipi
Aina noma simu zilie mzee simu zilie babaaa
Door bell rings

Hizi kengele huyu anahisi nacheza nini?
Fungua inamaana huskii hii kengеle au utaka nije tu kukulabua
Kama mnafichana ndani ya makabati leo nitawasha moto hii nyumba ndo mtanitambua
Skia еm fungua usitake nijaze watu waje waokote tu vipande maana watakuta nishakupasua

Sasa basi napiga kengele mara ya mwisho na navunja kama hutaki kufungua
Oya em Fungua ushaniweka zaidi ya nusu saa nakubishia hodi hutaki kufungua
Ila Hawa kenge wanaokufata sehemu nayolipa kodi wakigonga mlango na miguu unafungua
Sasa Kabla sijapita na huu mlango mpaka ndani na kutibu jeuri yako nitapokubutua

Ngoja nahesabu moja mpaka tatu nauvunja maana nishagonga sana hadi vidole vimeungua
Majirani wananambia kuna njemba napishana nazo sana zinaingia mi nikiwa sipo
Na ndio maana unanambia nikitaka kuja niwe nakupigia leo nimetimba bila info
Hivi kitu gani nitakupa we mwanamke ukatulia

Ukatuliza na roho yangu ikatulia
Nshakuambia mara ngapi hujasikia
Na n#z#di kurudia sasa leo utajutia nakuapia
Juzi juzi niliona tu umeshare snapchat uko level one na pembeni yako kuna mchizi

Nikadaka boda nikufate nafika sijakuona nikaambiwa kuwa ushasepa the deez
Najitahidi nisikuchunguze ila story zinanifikia na kiukweli zinanipa uchizi
Picha zako zote ndani ya gari tofauti unabadili tu mikao huku unachezea keys
Kuleta rafiki zako wa kiume kwenye nyumba niliyokupangia kwanza nshakupiga maruf#ku

Wanajiachia sebleni na vipensi wanacheza na rimoti kama wanachangia luku
Na hawatosheki na chakula unachowapikia maana wanakula mpaka yule anaewapikia
Navyogaramia na mateso unayonipatia hii nyumba mara mia nifugie kuku (kwenda)
Staki hizi mbichi ooh naah

Ukakasi mwingi staki staki staki hili bichi ooh naah
Kukupenda staki hii ni homa
Nimekoma tena staki staki hii sonona, noma
Kuna namba umeisave Daddy kwenye simu yako

Nimeshtuka hata kumbe huyo sio babaako
Unajifanya huna makuu bonge la pretender
Kuna story nimeskia sikuhizi we ni blender
Fungua, kabla sijasema vyote fasta fasta

Fungua, lazima nitapata kesi navunja kitasa
Fungua, staki ufala leo utapata unachokitaka
Fungua, mapenzi nikache staki, bomboclat!!!
Kabla sijakuacha nitakufunza adabu bwana utaempata huko atakuta umeshashika adabu

Hizi tabu juu ya tabu nimeshindwa ustaarabu
Kama Ndoa nishatoa kwenye hesabu ushanikata vibe
Speaking venacular
Heee bhagosha

Sasa unamgongea nani sasa hapo wewe?
Una… yaa yani mi nimelala nasikia tu makelele unamgonga.. unagonga.. unamgongea nani sasa?
Hapo si nyumbani kwako wewe hapo?
Unalala na nani hapo? Humo sijawahi kuona hata umeleta ka demu mdomo wenyewe zege huo

Aisee hii mihadarati hii
Bora Serikali iendelee kukomesha hii mihadarati
Na iendelee kuzuiliwa hivi hivi kwanini sasa mtu unagonga mlango wako halafu unasema mtu akufungulie
Hebu ingia ndani ulale huko

Unatuchanganya watu tumelala bwana
Eee hii imeingia hii
Find more lyrics at lyrics.jspinyin.net

You can purchase their music thru 
Amazon Music  Apple Music
Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases
Other Popular Songs:
PVNCH - Провінція
Zoë & Silos - Renkoekoek

Fungua – English Translation

Oh my son?
99 My son
Why not?
Ahhh no one or what

That’s the problem of cutting the team you don’t know hahah
Ahh not bet
I know my grandfather
But you are silent about what the problem is my son is true .. !!

We just leave my son not you understand this brother -in -law how I agree
Aah I understand
Then there are melons flani grows to bring me that is not
What like this there are stories that I grow up and then I want to tell him what my throat is growing if something has held me here I can’t talk about what

Because I know when I touch her just a little bit he is angry coming up but I want a kinoma to get rid of just where I start from my son
Aaah so the problem is that?
That’s so my son
Take the first thing this

Or not
Dial two when you finish that son you will have the power to get rid of him why a small issue
Eat something to finish the microscope
Sure ??

It’s over that father
Mmmh Yes Yes
Uuuu brand brand yeah yeah yeah yeee
Other things little things my son grows up thinking

Cough !! This is my son as a
Mozambique that father
Now my son
Oi Oi Oi

Let’s wait for me to play (once this you have finished something ??)
Let me find him there where he is to start with him how
Type or phones are older phones.
Door Bell Rings

What are these bells I feel?
Open it means you don’t feel this Kengеle or you just want to come to you
If you are in the cabinets today I will fire this house and you will recognize me
SKIA еm Open Don’t Want To Fill People Just Come To Get On The Pieces

Now then I ring the alarm last time and I break up if you don’t want to open
Oh Em Open You Keep Me More Than Half An Hour and I Want To Hold You Don’t Want
Except these pirates who pay you the rent when they knock on the door and feet open
Now before I pass by this door to the inside and treat your violence when I am bothering you

Wait I count one to three I break it because I hit so much until the fingers are burning
Neighbors tell me there is a lot and a lot of them are coming in when I am not there
And that’s why you tell me if I want to come and call you today I dug without an info
What will I give you a woman to calm down

You calmed down and my soul calmed down
I tell you how many times you haven’t heard
And I will repeat now today you will regret I swear
The other day I just saw you had been a snapchat in one level and next to you there was a sauce

I wanted a boda to find you I didn’t see you and I was told that you had to miss the deez
I try not to look at you but the stories reach me and they really give me a lot
All your photos into a separate car you just change the stools while playing keys
Bring your male friends to the house I first set up for you to ban you

They leave themselves in the living room and the rims play with the rim as they contribute to the luku
And they are not satisfied with the food you cook for them because they eat until the one who cooks them
I have the suffering and suffering you give me this house a hundred times to burn chickens (go)
These raw staki ooh naah

A lot of stool staki staki this bush ooh naah
To love you this staki is a fever
I have stopped again this staki Sonona, or
There are numbers you have daddy on your phone

I am shocked even if he is not your father
You pretend you don’t have a big bunch of pretender
There is a story I heard nowadays we are a blender
Open, before I say all fixed fixed

Open, I must get a case and break the tunnel
Open, Staki Ufala today you will find what you want
Open, Funny Leave Staki, Bomboclat !!!
Before I leave you I will teach you the morals you will find there will find you have been polite

These tabu on tabu I have failed civilization
If marriage I give me in calculations you cut me out of vibe
Speaking venacular
Heee Bhagosha

Now who are you knocking now?
You have… yaa i am sleeping and I just hear the noise you knock .. you knock.
Isn’t your home there?
Who are you sleeping with? There I have never even seen you have brought the mouth to be the same concrete

Aisee this drug
Better the government should continue to put an end to this drug
And let it continue to be prevented so why now someone knocks on your door and then you say someone to open you
Let’s go in to sleep there

You confuse people we are sleeping sir
Eee this has entered this
Find more lyrics at lyrics.jspinyin.net

Lyrics Rapcha – Fungua

Kindly like and share our content. Please follow our site to get the latest lyrics for all songs.

We don’t provide any MP3 Download, please support the artist by purchasing their music 🙂

You can purchase their music thru 
Amazon Music  Apple Music
Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases